WAZIRI MKENDA AITAKA TFRA KUANDAA MKAKATI WA UPATIKANAJI WA MBOLEA KWA BEI NAFUU.

Waziri wa Kilimo Mhe Prof. Adolf Mkenda akisisitiza jambo wakati akizungumza kwenye kikao kazi alipotembelea Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea (TFRA) akiwa katika ziara ya kikazi ya siku moja Jijini Dar es salaam, Tarehe 7 Juni 2021. Waziri wa Kilimo Mhe Prof. Adolf Mkenda akimsikiliza Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo Ndg Andrew Massawe akisisitiza